BALOZI JON LOMOY
Barozi wa Norwy Nchini Bw. Jon Lomoy akikaribisha wageni waalikwa kwenye Tamasha la muziki na chakula cha utamaduni wa Norway kwenye Hotel ya Movenpick ambapo kundi la Umoja Cultural Flying Carpet lenye wasanii mchanganyiko kutoka Tanzania, Norwy na Mosambique ndilo lililotoa burudani, tamasha hilo lilifanyika jumatatu iliyopita 15/09/2008 na liliandaliwa na ubarozi huo.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment