UNATISHA MZEE!

Mwimbaji mahiri wa Bendi ya FM ACADEMIA Jose Mara ambaye kwa sasa anatisha na anafananishwa na mwimbaji Farii Ipupa kutoka jamhuri ya kidemokrasia ya kongo aliyekuwa akiimba katika bendi ya Quatar te Latin ya Kofii Olomide, kutokana na uwezo alionao katika kubadilibadili sauti yake anapoimba .

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment