MWANAUME KUOA BWANA Mheshimiwa Temba Kutoka Kundi la muziki la TMK Wanaume Family Anatarajia kufunga ndoa hivi karibuni mwezi wa kumi na mbili ambapo ameielezea FULLSHANGWE kuwa harusi yake itafungwa Tarehe 13/12/2008 hapa jijini Dar es salaam na jana ndiyo kilifanyika kikao chake cha kwanza kwenye ukumbi wa sagara Tcc Club kikihudhuriwa na mastaa kibao wakiwemo wachezaji wa mpira wa kikapu Temba hakutaka kuweka wazi hasa ni nani anatarajia kumuoa kwa madai kuwa atajulikana hapo baadae kama anavyoonekana meneja mkuu wa kundi hilo Said Fella wa pili kutoka kulia
katika picha akiongoza wenzake kuhakikisha mambo yanakwenda sawa jumla ya shilingi milioni Tano na nusu zilipatikana ikiwa ni ahadi na Fedha Taslimu

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment