Mkuu wa Huduma kwa wateja wa Benki ya Satandard Charted Bw. Ralph Watungwa akimkabidhi tiketi ya ndege ya kutoka Dar es alaam kwenda Beijing na kurudi Bw. Eneliko Luvanda ambaye ni mmoja wa washindi waliopatikana katika Droo ya mwisho ya bahati nasibu iliyokuwa ikendeshwa na benki hiyo makabidhiano yamefanyika katika tawi la kariakoo. kati ni meneja wa tawi hilo Gaudence Shawa na kushoto ni Awaichi Mawala.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment