Mkurugenzi wa kitengo cha huduma katika Benki ya Standard Charted Bw. Ralph Watungwa katikati Bi Hoyce Temu afisa wa Benki hiyo kitengo cha mawasiliano kulia na meneja wa tawi benki hiyo kariakoo Bw. Gaudence Shawa kushoto wakiwa katika hafla yakukabidhi zawadi kwa washindi wa bahati nasibu iliyokuwa ikiendeshwa na benki hiyo

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment