BAADA YA USHINDI NAKULA RAHA!


Mwenyekiti wa Yanga Imani Mahugila Madegaa linaswa na Camera ya FULLSHANGWE akipunga upepo katika viwanja vya Readers mara baada ya timu yake kupata ushindi dhidi ya mtibwa kushoto ni mkurugenzi wa simba Evarist Hagila Na kulia ni Shabiki mkubwa wa Yanga Phill Mmari.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment