ATC YAANZA SAFARI ZA TABORA NA KIGOMA

Shirika la ndege la Tanzania ATC limeanzisha safari zake kati ya Dar es alaam Tabora na kigoma katika kuwarahisishia watanzania usafiri hapa nchini na kuongeza ufanisi wa utendaji wa shirika hilo lakini pia kujiongezea faida Safari hizo zilizinduliwa jana kwa ndege yao mpya kama anavyoonekana mkurugezi wa shirika hilo David Mataka aliyekaa kushoto akiwa ndani ya ndege hiyo wakati iliporuka kuelekea Tabora na Kigoma kulia ni mtangazaji wa Radio Clouds Gerald Hando.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment