
WATEMBELEE ATC NA GALILEO KATIKA BANDA LA MALIASILI UONE MAMBO MAKUBWA!!
Posted by
ADMIN

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Copyright © 2011 Hartmann Online
Theme Miss Jestina George, Designed by G5 DESIGNS
Blogger theme by G5 CLICK COMPAN
2 comments:
John, hivi ATC bado inaruka? Mimi nasafiri mara kwa mara kutokana na kazi yangu kati ya Dar na Arusha. Mara ya mwisho, mwezi wa tano mwishoni, nilikwenda ATC nikaambiwa hakuna ndege. Mwezi mmoja kabla ya hapo nikaambiwa kuna ndege moja kwa wiki lakini inapitia Mwanza. Kwa hivyo kazini wengi wetu tumekuwa tukitumia Precision Air. Naomba nielimishwe inakuwaje hizo ticket zinauzwa wakati kila ukenda ofisi za ATC unakuta kuna tatizo?
John, hivi ATC bado inaruka? Mimi nasafiri mara kwa mara kutokana na kazi yangu kati ya Dar na Arusha. Mara ya mwisho, mwezi wa tano mwishoni, nilikwenda ATC nikaambiwa hakuna ndege. Mwezi mmoja kabla ya hapo nikaambiwa kuna ndege moja kwa wiki lakini inapitia Mwanza. Kwa hivyo kazini wengi wetu tumekuwa tukitumia Precision Air. Naomba nielimishwe inakuwaje hizo ticket zinauzwa wakati kila ukenda ofisi za ATC unakuta kuna tatizo?
Post a Comment