
Asha Baraka amesema katika Bonanza hilo mbali ya burudani kutakuwa na michezo aina mbalimbali itakayohusisha wasanii mbalimbali wakiwemo wanamuziki, waigizaji pamoja na wachezaji wa mpira wa miguu kutoka klabu mbal;imbali jijini Dar es salaam.
Ameongeza kwamba Bendi mbalimbali zimealikwa kama vile Msondo Music Band na wasanii kadhaa wa hapa nyumbani akiwemo Diamond na wengine, pia amesemakuwawako kwenye mazungum,zo na baadhiyawanamuziki wa muziki wa kizazi kipya kutoka nchini Kenyea na mara baada ya mazungumzo hayo kukamilika watatangaza kuwa ni mwanamuziki gani atashirikikatika bonanza hilo
Amemaliza kwa kusema nawakaribisha mashabiki wote wa muzikihapa jijiniwajekujioneaburudanimbalimbali na kujumuika kwa pamojana wanamuziki wa African Stars katikakusherehekea tuzo hizo zaKilimanjaro Music Award ambapo kiigilio kitakuwa shilingi elfu 5.000 kwa kila mtu, katika picha kushoto ni katibu wa bendi hiyo Abu Semuhando aka Baba Diana.
African Stars ilipata tuzo tatu katika tuzo za Kilimanjaro Music Award ambazo ni Bendi bora, Albam Bora na rapa bora wa mwaka.
0 comments:
Post a Comment