kamanda wa Ngoma Africa band Ebrahim Makunja aka Ras Makunja,akikiongoza kikosi chake jukwaani huko Munich katika shamra shamra za onesho la usiku wa Jumamosi 8-05-2010,ambapo washabiki wa muziki wa mji wa Munich na miji jirani walikubali kuwa bendi ya Ngoma Africa aka FFU ni mzimu wa muziki wa kiafrika(picha kny Malumbo.Jr)






0 comments:
Post a Comment