Katika hafla hiyo viongozi Mbalimbali wa Afrika waliokuwa mstari wa mbele katika harakati za ukombozi kusini mwa Afrika nao walitunukiwa nishani hiyo akiwemo Rais wa Zamani wa Zambia Keneth Kaunda ambaye pia alihudhuria hafla hiyo, Marehemu Agostino Neto wa Angola, Marehemu Oliver Tambo wa Afrika ya Kusini, Rais Denis Sassou Nguesso wa Kongo Brazaville, pamoja na watu wengine mashuhuri waliokuwa msari mbele katika ukombozi wa bara la Afrika.Pembeni ya Mama Maria kushoto ni Mtoto wa Mwalimu,Bwana Makongoro Nyerere ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Mara.
Mwalimu Nyerere na Kaunda Walipotunukiwa Nishani za Ushujaa Namibia
Posted by
ADMIN
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment