
Kesi za mauaji ya Ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi ama Albino zimeanza leo katika mahakama kuu za kanda ya ziwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi, Kesi hizo zinatarajiwa kusikilizwa mfululizo kwa siku 35. picha kwa hisani ya (Bongopix)
Copyright © 2011 Hartmann Online
Theme Miss Jestina George, Designed by G5 DESIGNS
Blogger theme by G5 CLICK COMPAN
0 comments:
Post a Comment