Waziri Mkuu, Bw. Mizengo Pinda (wa pili kushoto) akibonyeza kitufe kuzindua mtambo mpya wa kisasa wa kufungasha bia katika kiwanda cha bia cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. Kunshoto ni Meneja wa kiwanda hicho, Bw. Salvatory Rweyemamu. Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa (TBL), Bw. Robin Goetzsche na wengine ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw.William Lukuvi (wa tatu kulia), Waziri wa Viwanda, Buiashara na Masoko, Dkt.Mary Nagu (picha na Ridhard Mwaikenda). Waziri Mkuu azindua Mtambo wa Kisasa TBL!!
Posted by
ADMIN
Waziri Mkuu, Bw. Mizengo Pinda (wa pili kushoto) akibonyeza kitufe kuzindua mtambo mpya wa kisasa wa kufungasha bia katika kiwanda cha bia cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. Kunshoto ni Meneja wa kiwanda hicho, Bw. Salvatory Rweyemamu. Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa (TBL), Bw. Robin Goetzsche na wengine ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw.William Lukuvi (wa tatu kulia), Waziri wa Viwanda, Buiashara na Masoko, Dkt.Mary Nagu (picha na Ridhard Mwaikenda). You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





0 comments:
Post a Comment