Meneja mkuu mahusiano wa Benki ya Starndard Chartered Lucy Kiwele akikabidhi bendera kwa wanariadha Jumanne Tulway kulia na Sara Maaja katikati wanaokwenda nchini India kushiriki mashindano ya Mumbai Marathon yanayotarajiwa kuanza Januari 18 mwaka huu benki hiyo imewadhamini wanariadha hao kwa kuwapa tiketi za ndege za kwenda India na kurudi Dar es alaam
BENKI YA STARNDARD CHARTERED YAKABIDHI TIKETI ZA NDEGE KWA WANARIADHA!!
Posted by
ADMIN
Meneja mkuu mahusiano wa Benki ya Starndard Chartered Lucy Kiwele akikabidhi bendera kwa wanariadha Jumanne Tulway kulia na Sara Maaja katikati wanaokwenda nchini India kushiriki mashindano ya Mumbai Marathon yanayotarajiwa kuanza Januari 18 mwaka huu benki hiyo imewadhamini wanariadha hao kwa kuwapa tiketi za ndege za kwenda India na kurudi Dar es alaam
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment