![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjQV_A-fr7ZbBTAjB4M6DU06ig_lwBfr8YrXGUfKXYiReGasEnl7Wngu94Xvjf34Fb6p6ZSAW4K20yWCdj-8NDoku6_yU4s9168sHJNRVyadioL6ClkkKTL62oDkDaaBz0z_Zh4GmDBrhA/s400/mama.jpg)
Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto Mhe. Margaret Sitta akiwapokea baadhi ya Mabalozi waliomtembelea ofisini kwake leo.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhhcpXXP1ooBPZRgpyJfIfnC65G2Zns-SVZNPfp4Z5nQmgvAy0zAbX9PevX1PguSAIH0kt54ptkGitfUv_rmUmzxdbN0QZeoyPM9omO-iO8gQAyDW70c8xERdWHTrKXW9cCddU8CLEscyk/s400/mama2.jpg)
Kikao kati ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto Mhe. Margaret Sitta na Mabalozi wa nchi za Ireland,Uingereza,Sweden,Denmark, Canada , Jumuiya ya Umoja wa Ulaya na wawakilishi kutoka Mashirika ya Kimataifa ya UNFPA na UNIFEM . Katika kikao hicho Mhe. Waziri amewaeleza namna Wizara yake inavyotekeleza masuala mbalimbali yanayohusu Jinsia na Mikakati ya Wizara ya baadae.
0 comments:
Post a Comment