Mama Ester Ngongodi ambaye ni mfugaji kutoka kijiji cha Godes Wilayani Kirombelo akiongea na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa idara ya habari maelezo leo kuelezea unyanyasaji wanaofanyiwa na Halmashauri ya wiliya hiyo ambapo inadaiwa watendaji wa wilaya wamekamata mifugo yao na kuwalazimisha kuhamia katika wilaya zingine kwa nguvu na kupigwa faini ya mifugo ya kwa kulipia kati ya Sh 30.000 na 45.000 kwa ng'ombe mmoja
WAFUGAJI WA KIMASAI WALALAMIKIA KUNYANYASWA NA H. WILAYA YA KIROMBELO!!
Posted by
ADMIN
Mama Ester Ngongodi ambaye ni mfugaji kutoka kijiji cha Godes Wilayani Kirombelo akiongea na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa idara ya habari maelezo leo kuelezea unyanyasaji wanaofanyiwa na Halmashauri ya wiliya hiyo ambapo inadaiwa watendaji wa wilaya wamekamata mifugo yao na kuwalazimisha kuhamia katika wilaya zingine kwa nguvu na kupigwa faini ya mifugo ya kwa kulipia kati ya Sh 30.000 na 45.000 kwa ng'ombe mmoja
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment