JAQUILINE MOSHA ASHINDA TUZO YA PMTCT MEDIA COMPETITION!!
Posted by
ADMIN
0
comments
Friday, January 30, 2009
KATIBU MKUU WAZARA YA HABARI ATEMBELEA (TSN)!!
Posted by
ADMIN
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhBeMySobshPaAlCm-twy5AWMpeVgzEAjnJCley7vtuVyhrFjg85wB4ANFZJKOnl0azcRZhM8zcYcoOo2wZX5vJRxGUNssFqkINhs9tEMNBV0_XpN156K3B0SlT11hVawgAIf3PT7Yh9y0/s400/4+%5B800x600%5D.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhXfx2X88NWHxwuCFS1liL0XW-FmLGD467vwSFqDO8dKo7asqyUaCq3Sesyn2Tioo7uC4lv0QWIzqDTtADBN-ha-NNDNJjG5AaVg2BUFj525ez4f51AckqBdFmJYA8jYJb5DAm5pDtFris/s400/2+%5B800x600%5D.jpg)
Meneja wa Uchapishaji wa magazeti ya Serikali (TSN) John Mcharo akimuelezea Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo Dk. Florens Turuka (aliyevaa suti) jinsi magazeti hayo yanavyoandaliwa kwa ajili ya kuchapishwa wakati alipotembelea kiwanda chao cha Uchapishaji kilichopo eneo la TAZARA jijini Dar es Salaam.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgUaAeioHbeyptyezPSVmiL79ROBFw3o8W-BjqhV3gTnzw_gBcpc9iZ3IVcT7-8Ozf2RYLu_3c5CXpOnN1QDJZFthyJFqmrCs1-9s7MYJYTbwMcUhYqJJYq6Bs_Fe2qlUzOMw3dNsUsUD0/s400/3+%5B800x600%5D.jpg)
Meneja wa Uchapishaji wa magazeti ya Serikali (TSN) John Mcharo akimuonyesha Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo Dk. Florens Turuka (aliyevaa suti) jinsi magazeti hayo yanavyoandaliwa kwa ajili ya kuchapishwa wakati alipotembelea kiwanda chao cha magazeti kilichopo eneo la TAZARA jijini Dar es Salaam. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari Habibu Nyundo.
UNYANYASAJI HUU WA ASKARI MGAMBO WA JIJI MPAKA LINI!!
Posted by
ADMIN
MWANAMITINDO MWINYI AHMED APATA MWALIKO AFRIKA KUSINI!!
Posted by
ADMIN
Mwanamuziki chipukizi wa Bendi ya Machozi inayomilikiwa na Lady Jay Dee na mwanamitindo pia Mwinyi Ahmed anatarajia kuondoka hapa nchini 15/2/2009 kuelekea nchini Afrika kusini kwa mawaliko wa kampuni ya African Disgner ya nchini humo kwa maonyesho kadhaa ya mavazi.
Akizungumza na FULLSHANGWE Mwinyi amesema anatarajia kuongozana na wanamitindo wenzie wa kiume watatu aliowataja kwa jina mojamoja ambao ni Yusuph, Ally na Hemed wote kutoka Dar es alaam.
Mwinyi amesema kuwa wakiwa huko wataonyesha mavazi yatakayobuniwa na kampuni ya African Disgner ya nchini humo na wabunifu wengine chipukizi kutoka nchi mbalimbali, za Afika ameongeza kuwa katika maonyesho hayo ambayo pia atakuwepo mwanamitindo maarufu duniani Naomi Campbell yaatshirikisha pia wabunifu kutoka ufaransa na Italia.
Ametaja miji ambayo watafanya maonyesho hayo kuwa ni Johanesburg, Port Elizaberth. Durban na Victoria, Mwinyi ameongeza kuwa kualikwa kwake katika maonyesho hayo kunamfungulia milango yeye na wanamitindo wengine kutoka hapa nyumbani watakaoshirika katika maonyesho hayo kutambulika kimataifa kwa kuwa maonyesho hayo ya mitindo yanashirikisha watu Maarufu wengi hapa duniani.
Mwanamuziki huyo pia hivi sasa tayari amesharekodi Single yake ya kwanza tangu aanze kuimba kama mwanamuziki wa Machozi Band inayokwenda kwa jina la Ndani ya Mapenzi iliyorekodiwa Mj Records na anatarajia kusambaza kwenye vituo vya redio mwezi ujao mara baada ya kurejea kutoka Afrka ya kusini, FULLSHANGWE tunakutakia kila mafanikio katika kazi zako.
0
comments
Thursday, January 29, 2009
WALIOKUWA MAOFISA WA BENKI KUU WAFIKISHWA MAHAKAMANI!!
Posted by
ADMIN
1 comments
Tuesday, January 27, 2009
WAJASIRIAMALI 400 WA PRIDE TANZANIA WATUNUKIWA VYETI!!
Posted by
ADMIN
Meneja mkuu wa Pride Tanzania Shimimana Ntuyabaliwe kushoto akimwelekeza waziri wa Viwanda Biashara na Masoko Dr. Mary Nagu kuelekea katika viwanja yalipofanyika maafali ya wajasiriamali 400 wa shirika hilo katika tawai la Pride Magomeni leo mara baada ya kuhitimu mafunzo ya ujasiriamali yaliyotolewa na chuo kikuu cha Dar es alaam kulia ni Mkurugenzi wa Pride Tanzania Bw. Rashid Malima.
TANDALE KWA MTOGOLE NI TAABU TU MVUA IKINYESHA!!
Posted by
ADMIN
Hii ndiyo hali halisi ya Tandale kwa mtogole jijini Dar es alaam mara mvua inaponyesha mitaa haipitiki kutokana na tope kujaa barabarani hali ambayo inapelekea hata waendesha baiskeli na maguta kupata shida sana wakati wa kupita maeneo hayo kama huyu kijana ambaye alikutwa na Camera ya FULLSHANGWE akihangaika na Guta lake.
THIS WEEK ON M-NET'S STUDIO 53... NIGERIA, GHANA, SOUTH AFRICA, MOZAMBIQUE AND UGANDA
Posted by
ADMIN
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi3mdI49nw9X6_seq1nfgdMUwAu_IFh-ZTtyVFTdnsRWdlIN1wW97G3zsWc9POfX04H7RNh7HzIQ7Mn04q2yfQHJUX7tsDx_Yin7grx6leRy8TlmYU3Rgfiez_8pZYa4fRho1T-NuFNqT4/s400/AfricaMagic%5B1%5D.06.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgO-MBt2t2-7kclF9_lkMdQCbm4kSW4TylPcsxknIOL0LH93bfo90yPWgkydZ0PqxEW6Yepc8xavz-XJxgj0uqRhdcZLkiVRr3oAxPSx23UpgR3F2EFW9fgVXxeUY6RKGwgciNZa3WOgTE/s400/UgandaJazz%5B1%5D.38.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg6IOKU2SNx6ddlvvqxx2YMWl9-fL5ynSswCi_4nCxQPFN8hCquCNUK5ezXfw8e80wQxcpUV5e3Hz_41dn7VFO2CsZFNTqDEk81XrRTMhZDranb1e0DgF6XYehWSMpRF_DVQ2Syy5tFIWc/s400/AfricaMagic%5B1%5D.25.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgKykYJYQ4ux_XjWu9uxNn0PHEF3uGMRoUD1Ir7-5qoq9TnDxUOIsiv_-XBXyXVc9_98W9p6iTwTV1daYuyaZWle3ZDw8_8hLOpGFLNrgncxF17WrI7r-MMGFlMCd2P2Xzq4QUWOYxYgtM/s400/AfricaMagic%5B1%5D.05.jpg)
January 2009
DStv audiences are invited to Nigeria, Ghana, South Africa, Mozambique and Uganda this week as M-Net's STUDIO 53 makes stopovers at these destinations during the latest episode of the lifestyle program!
First stop is Lagos, Nigeria where AfricaMagic recently celebrated their fifth birthday. The gala evening kicked off with live entertainment and a 5 star meal. But everyone was here for the same reason, to celebrate the channel that celebrates the continent! The evening focused on celebrating all that AfricaMagic had achieved in five short years, and using that past success to ensure future growth. The evening also honored the people whose vision and contribution have made AfricaMagic a reality.
Then STUDIO53’s Anita is off to Ghana to chat to Tei Huagie about the booming textile business. Huagie graduated from the Ghanatta College of Arts and Design 15 years ago and since then he has been piecing together his own interpretation of textile art. When he’s not sewing metal, Tei turns his attention to making these ‘more wearable’ works of art. Also using fabric as her canvas and taking her inspiration from her daily life in Ghana is Batik artist Edwina Assan. Tune in as STUDIO 53’s Anita tell DStv viewers more about Textile art, that is quickly gaining popularity in Ghana, its art that can be hung, wore or used to decorate.
Also in the show, STUDIO 53’s Mapumba travels to Durban in South Africa to Boyzie Cekwana, co-founder of the Soweto Dance Theatre. When he founded the theatre at the tender age of 18, he knew this was what he wanted to do with his life.
Today he is one of the most sought after dancers and choreographers in South Africa and regularly travels around the world conducting dance workshops.
Next Rosie takes DStv audiences on a trip to Mozambique’s Pemba resort, where only the tides tell time… Touch down on the coast of Pemba and it won’t take long to realize you’ve landed somewhere very special. Untouched beaches and the warm waves of the Indian Ocean invite you to relax and unwind while you soak up the sun. But it won’t be long before the sounds of the sea draws you back to the beach. Here days start and end with the movement of the sun and months are clocked by the changing of the seasons.
Lastly STUDIO 53’s Gaetano attends the Jazz festival in Uganda. The sizzling Jazz Safari is an effort to promote jazz in Uganda, determined not to miss a thing, Gaetano made sure he got some one-on-one time before the show with a couple of the evening’s star performers. Open air jazz concerts like this are held once a month here, at Ange Noir. Uganda’s jazz artists got the audience warmed up and showed off their talent. But the evening’s headliner, Saxophonist Eric Marienthal, stole the show.
DStv audiences in East and West Africa can watch STUDIO 53 on M-NET on Thursday January 29 at 19:30 CAT and on M-Net Series on Saturday January 31 at 18:00 CAT.
0
comments
Monday, January 26, 2009
PATA MATUKIO MBALIMBALI YA JANA JIJINI!!
Posted by
ADMIN
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEirmXRoc_X71IRqm03GFV8VPFt2eIJESqphreiPo683IwGNthXqKVM1UhYEauopLtsCG1aY3hSRTBEjir8e-kDr-ev4LmcBMEECUnnOCKtPA9C_S-TeNeykSDIBN8Urr-RMOiS1wPP1sC4/s400/Picha.jpg)
CANAL TOP WA AKUDO IMPACT AWAPIGISHA KWATA ZA SANGWE MASHABIKI!!
Posted by
ADMIN
0
comments
Sunday, January 25, 2009
KALUNDE YAIMARIKA ZAIDI WAKATI DEO MWANAMBILIMBI ANATARAJIA KUPATA MWENZA!!
Posted by
ADMIN
Kundi la muziki la Kalunde Band limeendelea kujiimarisha baada ya kununua vyombo vipya hivyo kuongeza uwezo kwa bendi hiyo kuimba muziki mzuri na wenye kiwango cha juu miongoni mwa bendi zilizopo hapa nchini.
Akizungumza na FULLSHANGWE kiongozi wa Bendi hiyo Bwana harusi mtarajiwa Deo Mwanambilimbi amesema wameongeza nguvu katika mfumo mzima wa Bass System kwa maana spika kubwa za besi, kinanda cha kisasa kabisa AMF PSRS 900 Yamaha ambacho ni muundo mpya, Drum mpya za umeme na gitaa la Sollo aina ya Finder la kisasa ambavyo vimeimarisha sana kazi yao kwa ujumla.
Amesema kimsingi maendeleo ya bendi ni mazuri na wanamuziki wanajituma sana kufanya kazi yao kitu ambacho kinaleta mwangaza mpya wa kazi yao kwa sasa na wakati ujao katika bendi yao.
Deo ameongeza kuwa katika kuukaribisha na kuanza mwaka huu wa 2009 tayari wameshaipua kibao kikali kinachokwenda kwa jina la Fikiri kabla ya kuamua ambacho kimetungwa na mwanamuziki Shehe Mwakichui na kurekodiwa studio za Big Time Records ambacho pia waimbaji wakuu ni yeye Deo Mwanambilimbi mwenyewe na Shehe Mwakichui na hiki kibao ndicho kinachokamilisha nyimbo za Albam nzima ya Nataka Nizae na wewe ambayo nyimbo zake zingine zitatambulishwa katika usiku wa wapendanao yaani (Valentine Day) mwezi ujao.
Amesema kuwa tayari wanenguaji wao wawili waliokuwa nchi za Falme za kiarabu kwa kazi za kimuziki Queen Vero na Aminata wamerejea na kujiunga moja kwa moja na Kalunde Band na kuanza kazi, bendi ya Kalunde ambayo kwa sasa imejizolea umaarufu mkubwa hapa jijini kwa kazi yao nzuri inayoonyeshwa na vibao vyao vikali kama vile Nataka nizae na wewe na Itumba ngwewe, kwa wiki wanafanya maonyesho katika kumbi tatu tofauti ambapo siku ya jumatano wanapiga pale Peacock Hotel katika usiku wa mwafrika, ijumaa wanapiga Cine Club na jumamosi wanakuwa pale Rainbow Club pande za Mbezi Beach ambapo ameongza kuwa usalama ni wa hali ya juu katika kumbi hizo pia kuna huduma bora kabisa kwa wateja.
Wakati huohuo habari zaidi zinasema mwanamuziki Deo Mwanambilimbi anatarajia kupata mwenza hivi karibuni anayejulikana kwa jina la Teresia mwenyeji wa mkoa wa Iringa , habari hizo zimeeleza kuwa mambo yote ya taratibu za mambo ya mila na utoaji wa mahari yameshakamilika huko mkoani Arusha ambako anaishi na kinachoendelea ni mipango ya kufunga ndoa ambayo huenda ikafanyika mapema mwezi wa nne.
Muziki wa Utamaduni unaweza kubadili maisha ya msanii kimaendeleo!!
Posted by
ADMIN
0
comments
Saturday, January 24, 2009
Blog mpya yazaliwa ni ya Evance Mhando wa TBC!!
Posted by
ADMIN
Ndugu wadau mwana blog mwenzetu mpya ameingia hewani na tuko naye pamoja twamkaribisha kwa shangwe kama ilivyo kauli mbiu yetu wana FULLSHANGWE na huyo si mwingine ni Muandishi na mtangazaji wa TBC Evance Muhando Blog yake inakuja kwa jina la www.tupowote.blogspot.com
NYOSHI EL. SADAAT AZUNGUMZIA NA KULAANI WANAMUZIKI WANAOHAMAHAMA BENDI!!
Posted by
ADMIN
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj46Ks4vyWzv-7CUEX9c0SZNHNrVIwXXqQ3FDHAKrmudDg3slOpgOyam1LwKdQ6j0gF6-5fVEqA-jThyKdUlNTKC-Jhsb4BmhfZnrefLDAiNu6fzcFggZ3RuVWGivSu6ktzcrsEMJYKeDM/s400/Picha+%5B800x600%5D.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgJ0qosT3s_DbE68HqXFxd5aFmwAuj5EjxOZBQQ8JVF5R-SKP1lHxZ74VMQZ_bGC6JCMFD2z0x8ps2PLEmyrQX4JDDJycNIIimdJpXK9U46lTzi7aeey8rCZPDpUwac0cp_fOjI3xPfstA/s400/2p+%5B800x600%5D.jpg)
Kushoto ni rais wa Bendi hiyo Nyoshi Al Sadaat akimpigia makofi ili kumpa hamasa zaidi.
SPIKA WA BUNGE AFUNGUA MKUTANO JUU YA UTENDAJI NA UWAJIBIKAJI WA MASHIRIKA YA UMMA!!
Posted by
ADMIN
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgd53BH8dDQ_o7qPMK9wy-bqvmtSK3TppxPBHt3_f2yZH0uV2IRBaIrsChMtEZrpehxa-fwQkq3mxFSVYwIM6PUjYYXrX29tCry8RcAFSIJVT7QVuXKZPXyNmOoj9Nl6AnsOMW3HL19vdw/s400/p2.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgCqsYpoH0aBPJpeLkf4KWqlWsxam57zFYk99ajGRL-1oaxD7_AKHAHpN5pOBzbluwt3Sxqzd7sKQVZNrymhwAWgTNlRu8_Zjg5NoDB87bPVnWbzXXzy3EgLIBIQalkom8JC2aVGgpM8DA/s400/p1.jpg)
BUNGE LA AFRIKA (PAP) LAFUNGUA OFISI ZAKE NCHINI!!
Posted by
ADMIN
0
comments
Thursday, January 22, 2009
Subscribe to:
Posts (Atom)