![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhBeMySobshPaAlCm-twy5AWMpeVgzEAjnJCley7vtuVyhrFjg85wB4ANFZJKOnl0azcRZhM8zcYcoOo2wZX5vJRxGUNssFqkINhs9tEMNBV0_XpN156K3B0SlT11hVawgAIf3PT7Yh9y0/s400/4+%5B800x600%5D.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhXfx2X88NWHxwuCFS1liL0XW-FmLGD467vwSFqDO8dKo7asqyUaCq3Sesyn2Tioo7uC4lv0QWIzqDTtADBN-ha-NNDNJjG5AaVg2BUFj525ez4f51AckqBdFmJYA8jYJb5DAm5pDtFris/s400/2+%5B800x600%5D.jpg)
Meneja wa Uchapishaji wa magazeti ya Serikali (TSN) John Mcharo akimuelezea Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo Dk. Florens Turuka (aliyevaa suti) jinsi magazeti hayo yanavyoandaliwa kwa ajili ya kuchapishwa wakati alipotembelea kiwanda chao cha Uchapishaji kilichopo eneo la TAZARA jijini Dar es Salaam.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgUaAeioHbeyptyezPSVmiL79ROBFw3o8W-BjqhV3gTnzw_gBcpc9iZ3IVcT7-8Ozf2RYLu_3c5CXpOnN1QDJZFthyJFqmrCs1-9s7MYJYTbwMcUhYqJJYq6Bs_Fe2qlUzOMw3dNsUsUD0/s400/3+%5B800x600%5D.jpg)
Meneja wa Uchapishaji wa magazeti ya Serikali (TSN) John Mcharo akimuonyesha Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo Dk. Florens Turuka (aliyevaa suti) jinsi magazeti hayo yanavyoandaliwa kwa ajili ya kuchapishwa wakati alipotembelea kiwanda chao cha magazeti kilichopo eneo la TAZARA jijini Dar es Salaam. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari Habibu Nyundo.
0 comments:
Post a Comment