Meneja mkuu wa Pride Tanzania Shimimana Ntuyabaliwe kushoto akimwelekeza waziri wa Viwanda Biashara na Masoko Dr. Mary Nagu kuelekea katika viwanja yalipofanyika maafali ya wajasiriamali 400 wa shirika hilo katika tawai la Pride Magomeni leo mara baada ya kuhitimu mafunzo ya ujasiriamali yaliyotolewa na chuo kikuu cha Dar es alaam kulia ni Mkurugenzi wa Pride Tanzania Bw. Rashid Malima.
WAJASIRIAMALI 400 WA PRIDE TANZANIA WATUNUKIWA VYETI!!
Posted by
ADMIN
Meneja mkuu wa Pride Tanzania Shimimana Ntuyabaliwe kushoto akimwelekeza waziri wa Viwanda Biashara na Masoko Dr. Mary Nagu kuelekea katika viwanja yalipofanyika maafali ya wajasiriamali 400 wa shirika hilo katika tawai la Pride Magomeni leo mara baada ya kuhitimu mafunzo ya ujasiriamali yaliyotolewa na chuo kikuu cha Dar es alaam kulia ni Mkurugenzi wa Pride Tanzania Bw. Rashid Malima.
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment