(Picha zote na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO) .
Balozi Mdogo wa China nchini Tanzania (charge d Affaires in the Chines Embassy in Tanzania) FU JIJUN (kulia) akiongea na Mkurugenzi wa Utamaduni kutoka Wizara ya Habari ,Utamaduni na Michezo Prof. Hermas Mwansoko jana katika Ubalozi wa China jijini Dar es Salaam wakati wa hafla fupi ya kumkabidhi fomu ya nafasi ya masomo ya Shahada ya Uzamili katika UTAWALA , Mfanyakazi wa Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo Makao Makuu Sozy Ngate(hayupo pichani).
MTANZANIA APATA NAFASI KUSOMEA SHAHADA YA UZAMILI CHINA!!
Posted by
ADMIN
Labels:
Topnews
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment