
Msemaji wa TFF FLORIAN KAIJAGE amesema katika harakati za kutafuta timu wamefanikiwa kupata timu ya Misri.
Mchezo huo unatambulika na FIFA kwani siku hiyo ya mchezo ni siku iliyopangwa na FIFA kwa ajili ya mechi za kirafiki za FIFA.
Wakati stars ikijiandaa na mchezo huo tayari kocha wa timu ya stars JAN PAULSEN anatarajia kuwasili jumamosi usiku kuja kukinoa kikosi cha Taifa Stars. Habari na
0 comments:
Post a Comment