![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhAogI_3nlj3EiIjx6ZYulFTZ3wJ65pfFFbNbUIW354ivF_XBXy5FdgEfGM4V6-Tda8uB4B7ElXmJugAHwvoCql_RhSH_DfQTdqz_Eog2dTbM6Sn5LZU1_Za2rNVTwh_F-QFEmTEVXUSjur/s400/pm1.JPG)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Muleba Kusini, Wilson Masilingi kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 28, 2010. (Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjZh2Bmr7TUhx8YzNW1j1X8NwwgKwQX3LyIEH79MypPZAi1gP8y4Y7GHEkkHwIZyzBqhvy0UPYDUhSmOHc0O5ULm-MI9mD_TEAsEHdQKd8fTa5dFHl91u3Zfp0evfE4tnAEC5D3xFYmbftj/s400/pm2.JPG)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum Lediana Mng'ong'o kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgPpqyKHpB4U6ybwiDVekSn6qO82Vr_jVygK2RFD7ntYCoVt3FKxIJZ0haD9FLZjsSepQCO8hUpZnaSBdIPmhyphenhyphen7ugUM50bkSZVrhwUPI3LZv-T3l0cf4PC5wFcZqjEObr2smE_AJFN7_I4G/s400/pm4.JPG)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya sekondari ya Al- Qaem ya Mjini Dodoma ambao walitemblea Bunge.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEijuxwS-mpBqcocQEl2tnn2sb1wNGgA8f1zn1NpEcmCqhlXr2MSelXFrypzwVpdylZ0Oq8jnzKVhX4WHuZIq-pR9cY8B2zT0rlpFPCeoaPdXr3q8crZYH6cKUJJD8ZyJuRSVUMfgbYTW_Iq/s400/pm5.JPG)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wnafunzi wa kidato cha nne katika shle ya Sekondari ya Al- Qaem ya Mjini Dodoma ambao walitembelea Bunge.
0 comments:
Post a Comment