amewataka wakazi wa Mkoa wa Kagera wanaotoka kata ya Ruzinga kote nchini kuchangia mfuko wa maendeleo wa Ruzinga Day ambapo amesema wtawabana wale ambao hawatakuwa tayari kuchangia katika maendeleo ikiwa ni pamoja na kususia shughuli zao mbalimbali kama vile harusi na misiba, lakini pia akasema watatoa misamaha kwa wale ambao hawajiwezi kutokana na matatizo ya Uzee na Ugonjwa kulia katika picha ni mwanakamati wa Ruzinga Mrs. Feliciana Byanyuma.
PICHA NA MWANAKOMBO JUMAA WA MAELEZO.





0 comments:
Post a Comment