![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi3LgjaSoStgfSDF5NMP6-lrupN3Q9IYn8mbQSrVEYWE77DUaBx9N_155BMUgay6y_wMr8yHLyxKYDPvfdXplbD_5F-iKM3YS2Wa_NvGIVqxkMR1smhKzJPV1hZ649ffVAhfeg6JX9IN33R/s400/MCT+041.jpg)
Mkuu wa Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam (SJMC) Dkt Bernadeta Killian ( kulia) akizundua jana jijini Dar es salaam jarida la kitaalum la Scribes liloandaliwa na Baraza la Habari Tanzania(MCT) . Katikati ni Rais wa MCT Jaji Robert Kisanga na kushoto ni Katibu Mtendaji wa MCT Kajubi Mukajanga.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi9fTyVDc6bju65VQtTHpKarWFMEe6b5H-XyWGFU_XUxPwqIs0ij5WofoSPX3joCV6s0C_B10mu5KbEVxrY5VF7IlmGmri4Zxkh2GM7sZPN-gWptvHUx1ENkr3_WnRcI2-JsKWo0x4ga4DU/s400/MCT+035.jpg)
Mkuu wa Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam (SJMC) Dkt Bernadeta Killian ( kulia) akionyesha machapisho ya majarida mbalimbali baada ya kuyazindua jana jijini Dar es salaam yanayohusu tasnia ya uandishi wa habari ambayo yameandaliwa na Baraza la Habari Tanzania(MCT) . Katikati ni Rais wa MCT Jaji Robert Kisanga na kushoto ni Katibu Mtendaji wa MCT Kajubi Mukajanga.
Picha zote na Tiganya Vincent -MAELEZO
0 comments:
Post a Comment