
Mwenyekiti wa Bunge Jenista Mhagama (kushoto) akibadishana mawazo na Waziri wa Maendeleo ya Jamii , Jinsia na Watoto, Magreth Sitta(katikati) na Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt Mary Nagu jana mjini Dodoma mara baada ya kuharishwa kwa kikao cha 4 cha mkutano wa 18 wa Bunge uanoendelea mjini Dodoma.

Waziri wa Habari , Utamaduni na Michezo Captain George Mkuchika (kulia) akibadilishana mawazo na Mbunge wa CCM jimbo la Tandahimba Juma Njwayo jana mara baada ya kuharishwa kwa kikao cha 4 cha mkutano wa 18 wa Bunge uanoendelea mjini Dodoma.
Picha zote na Tiganya Vincent, Dodoma
0 comments:
Post a Comment