![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEim8mgVcAcBGE81j_4f-690EkdYOD9Ji2A9z4C3-I0GdABlLqkjjhMP4WOfpHqZXn00wlZSaWuC6RmtqicPINt2SLPC8eEzcWCftM9DpN5D-qF38Adyez_pw9lyXNdGeRSLl9Nyu4RicxsP/s400/62196185600_10.jpg)
Kikosi kilichokuwa kikifanya msako kimekikuta kisanduku hicho cha ndege ya Ethiopia takriban kilomita 1.3 chini ya maji, kilomita 10 magharibi mwa mji mkuu wa Beirut.
Maafisa wa usalama wa Lebanon wamesema kikosi hicho sasa kinajaribu kukitoa.
Watu wote 90 waliokuwemo kwenye ndege ya Ethiopia wanaaminiwa kufariki dunia kutokana na ajali hiyo.
Mpaka sasa takriban miili ya watu 24 imeopolewa katika bahari.
0 comments:
Post a Comment