![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgsT9MKe2sNcf6TKuIWolV81NxIP3nCyH8wvpscR4LF4lemmmmYMqkZCdIanP5PYs_bXHbyHi1fNB9O9qWV0DmakcLwZN9gQ5yo7VpLn2YlAmtdR2RStdArjlJ_5-p_vo9Ynm171LlGF6F8/s400/2.jpg)
Promosheni hiyo itawafanya mashabiki mbalimbali wa soka katika baa mbalimbali kujishindia zawadi mbalimbali kama vile Bia za Serengeti, Kofia, Fulana na jezi za timu ya Taifa pamoja na tiketi za kuingilia katika michezo hiyo, wanaofuatia katika picha ni meneja mkuu wa kampuni hiyo Mr Kagusa, Bahati Singh meneja matukio na promosheni na mchezaji wa Taifa Stars Mrisho Ngasa.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi2mie9K8QgbockqIXp5mbd6VbR3FxPjKg3sF4vL2iggGhP8YxYiqx_CTUr2i3t20X2C-8ZCjD9OpierKg6Qfnu8kKzUhoIAYjErYbmRKC_PtRCbKbJvQn_MLE5Vh28KVzAVn6JNGgxnY8R/s400/b.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiXHIcOq6RCfY6Ea8rF9yIk-sLWyEN13R_b6NYte0ImjEddsinwhQmoM4J0EyOpNlAkJsySzJNDm0yFOc55xjF5Uf5dmhyphenhyphenxYECcuezz07GyVY3zHkPofDC06LNS5hEe10NrBiNKuYB4e_s4/s400/1.jpg)
Meneja uhusiano wa kampuni ya bia ya Serengeti Teddy Mapunda akiwa katika piocha ya pamoja na wachezaji wa timu ya Taifa walioshika jezi zenye majina yao na kulia mwisho na afisa habari wa shirikisho la mpira nchini TFF Frolian Kaijage
0 comments:
Post a Comment