Marck Bomani alikabidhi zawadi mbalimbali kwa wateja wa kampuni hiyo waliofanya vizuri katika mauzo ya vinywaji vinavyozalishwa na kampuni hiyo, vinyaji hivyo na kampuni hiyo ni Serengeti Lager, The Kiki, Stella Artois na Vita Malt Plus, Meneja uhusiano wa kampuni hiyo Teddy Mapunda amewaambia waandishi wa habari kwamba zawadi hizo kwa ujumla zina thamani ya shilingi mliloni 170.
SERENGETI YAMWAGA KOMPYUTA NA SIMU KWA WATEJA WAKE WALIOFANYA VYEMA KWENYE MAUZO!!
Posted by
ADMIN
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment