

The Ngoma Africa Band aka FFU!na mdundo wao wa "Bongo Dansi" wanatarajiwa kutingisha jukwaa lingine katika onyesho kubwa la Afrika Festival litakalo fanyika mjini Goeppingen,Ujerumani siku ya jumamosi ya 4 Julai 2009 saa 2.00 Usiku.
Bendi hiyo maarufu na dansi lake linalowatia kiwewe washabiki huko ughaibuni, wanasubiliwa kwa hamu nwww.myspace.com/thengomaafrica pia unaweza kuwasiliana kwa kupitia.
ngoma4u@googlemail.coma washabiki katika onyesho hilo.
Wasikilize hapa
0 comments:
Post a Comment