Pia wamewaasa wasanii wengine wamziki wa kizazi kipya kupata elimu kwanza ili kwenda sambamba na sayansi,teknolojia na utandawazi, sasa hivi wamekamilisha ngoma mpya iitwayo mademu wa college wakimshilikisha CUBIC na JETMAN. pichaniwasanii hao kutoka kushoto ni SAM LOCKS,MR BLESS,mtayarishaji wa muziki na Mmiliki wa studio ya NOIZMAKER ya ARUSHA DX,ambaye pia anahitimu masomo mwezi ujao,NOIZMAN(TAIFA) na SIR ONE wakiwa katika chuo kikuu cha TUMAINI wakati wa mapumziko ya vipindi vyao
BAADA YA NONDOZ WISE CREW SASA KUINGIA KWENYE GEMU!!
Posted by
ADMIN
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment