alituwakilisha vyema wana FULLSHANGWE wakati alipogawa shangwe zake vyakutosha kwa mashabiki waliofurika kwenye ukumbi wa NSSF mjini Shinyanga katika mfululizo wa maonyesha hayo yenye lengo la kuzindua Albam yenye nyimbo mchanganiko kutoka kwa wasanii tofauti nchini iliyopewa jina la Shangwe maonyesho hayo yanaandaliwa na kampuni kongwe ya Prime Time Promotion ikishirikiana na Radio ya watu Clouds Fm, onyesho la Shinyanga lilikuwa ndiyo hitimisho la ziara ya maonyesho uzinduzi wa Albam hiyo kote nchini.
PROFESOR J. ATUWAKILISHA VYEMA WANAFULLSHANGWE!!
Posted by
ADMIN
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment