Mkurugenzi wa kituo maalum cha utafiti wa vyombo vya habari Bw. Ayubu Ryoba akizungumza mbele ya wanahabari wakati wa uzinduzi wa Ripoti tatu tofauti zinazoonyesha jinsi ya kuandika habari za umasikini , habari za Vijijini na Habari za Sayansi na Utafiti kwenye kukumbi wa Idara ya Habari Maelezo leo nanayefuatia ni mgeni rasmi katika uzinduzi huo na mwenyekiti wa kituo maalum cha machapisho ya utafiti wa vyombo vya habari Prof. Juan Mwaikusa na mwisho ni katibu mtendaji wa baraza la habari Bw. Kajubi Mukajanga
Hivi ndivyo vitabu Vitatu maalum vyenye ripoti ya utafiti jinsi ya kuandika habari za Umasikini , Habari za Vijijini na Habari za Sayansi na utafiti vilivyoandaliwa kwa pamoja na Kituo cha utafiti wa vyombo vya habari na Baraza la habari ripoti hizo zimezinduliwa leo kwenye ukumbi wa Idara ya habari maelezo.
0 comments:
Post a Comment