Kundi la muziki wa Taarab la New Zanzibar Molden Taarab limeendelea kuwapa shangwe mashabiki wake katika kumbi mbalimbali za burudani ambapo katika muendelezo wa burudani hizo Camera ya Bwana FULLSHANGWE ijumaa hii iliwanasa katika ukumbi wa Equator Grill Mtoni kwa Azizi Ally jijini wakiwapagawisha mashabiki kama wanavyoonekana katika picha kutoka kulia ni waimabji Mwamvita Shaibu, Mwnamkuu Zayumba, Zena Mhamed na Zubeda Mlamali wakifanya vitu vyao
NEW ZANZIBAR MOLDEN TAARAB YAENDELEA KUMWAGA RAHA JIJINI!!
Posted by
ADMIN
Kundi la muziki wa Taarab la New Zanzibar Molden Taarab limeendelea kuwapa shangwe mashabiki wake katika kumbi mbalimbali za burudani ambapo katika muendelezo wa burudani hizo Camera ya Bwana FULLSHANGWE ijumaa hii iliwanasa katika ukumbi wa Equator Grill Mtoni kwa Azizi Ally jijini wakiwapagawisha mashabiki kama wanavyoonekana katika picha kutoka kulia ni waimabji Mwamvita Shaibu, Mwnamkuu Zayumba, Zena Mhamed na Zubeda Mlamali wakifanya vitu vyao
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment