Bongo Star Search 2007/2008, Malfred Mwasote (kulia) akiimba na mmoja wa
mashabiki wakati wa tamasha la Caribbean Beat lililoandaliwa kwa ajili ya
kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu kifo cha nyota wa reggae wa Afrika Kusini,
Lucky Dube, Dar es Salaam juzi usiku, na kudhaminiwa na kampuni ya simu za
mkononi ya Zain.
0 comments:
Post a Comment