
Vilevile Wahapahapa Band wata tambulisha Albamu yao iitwayo BARUA itakayo zinduliwa mwakani.Ashimba jina jipya katika fani lenye mambo makubwa! Ashimba atatambulisha NURU NYIKANI Albamu itakayozinduliwa mwanzoni mwa mwaka 2009. Ashimba anafanya kazi chini ya Maisha Music.Wasanii wengine watakaoshiriki katika onyesho hili ni Vitalis Maembe, Misoji Nkwabi wote kutoka Bagamoyo. Antonia Kutoka Ujerumani. Sqeezer naye atakuwepo pamoja na wasanii wengine wengi!
0 comments:
Post a Comment