Katibu mkuu Wizara ya mambo ya Ndani ya Nchi Patrick Rutabanzibwa katikati akikata utepe kuzindua Pikipiki 11 zenye thamani ya shilingi milioni 54 zilizotolewa na Baraza la Usalama Barabarani na kukabidhiwa na Mkuu wa mkoa wa Dar es alaam Mh. Abas kandoro kushoto ambaye pia ni mwenyekiti wa Baraza hilo leo jijini kulia ni mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP Said Mwema.
JESHI LA POLISI LAPOKEA MSAADA WA PIKIPIKI NA GARI!!
Posted by
ADMIN
Katibu mkuu Wizara ya mambo ya Ndani ya Nchi Patrick Rutabanzibwa katikati akikata utepe kuzindua Pikipiki 11 zenye thamani ya shilingi milioni 54 zilizotolewa na Baraza la Usalama Barabarani na kukabidhiwa na Mkuu wa mkoa wa Dar es alaam Mh. Abas kandoro kushoto ambaye pia ni mwenyekiti wa Baraza hilo leo jijini kulia ni mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP Said Mwema.
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment