Jamani mimi mzee wa FLLSHANGWE ningependa kuwashauri hawa ndugu zangu kuwa Bonanza ni mahali pa kukutana watu tofauti marafiki wapenzi wa burudani na kufanya mazoezi pamoja na kushauriana mambo mbalimbali ya maendeleo lakini pia kusaidiana katika matatizo kwa hiyo pasiwe mahali pa kutunishiana misuli ndugu zangu sisi wote ni wamoja ndiyo maana tunaongea lugha moja yaani kiswahili FULLSHANGWE tunasema tunawapenda wote na tunawatakia maisha mema ili tuendeleze libeneke la burudani.
TUENDELEZE LIBENEKE LA BURUDANI SIYO KUTUNISHIANA MISULI JAMANI!!
Posted by
ADMIN
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment